CHANGO LA UZAZI NA TIBA YAKE. FAHAMU KUHUSIANA NA CHANGO LA UZAZI. PANDEX HERBAL CLINIC +255 656 198 441 pandexclinic@gmail.com Tunapozungumzia mgonjwa wa chango tuna maana kuwa ni matatizo yaliyopo katika viungo vya uzazi kwa mke au mume. Huu ni ugonjwa ambao humpata mtu katika umri mdogo utotoni. Kwa mfano :- mume, hupata maumivu ya tumbo mara kueneza anapokuwa mdogo. Kwa upande wa mwanamke hupata maumivu ya tumbo anapoanza kuvunja ungo. Maumivu hayo hupelekea mtu (mume/mwanamke) kupata madhara katika viungo vyake vya uzazi. DALILI ZAKE KWA MWANAUME: DALILI ZA UGONJWA WA NGIRI CHANGA(isiyo komaa) Dalili za ugonjwa huu wa ngiri ziko nyingi sana kwa hiyo hapa nitataja dalili chache tu. Nazo ndizo hizi zifuatazo⤵ 1.Kubana tumbo khasa chini ya kitovu wakati wa baridi au unapokula vitu vitamu. 2.Kupiga mingurumo tumboni. 3.Kujaa gesi tumboni. 4.Kuhisi haja kubwa na ukifika chooni unatoa upepo tu. 5.Kupata haja ngumu kama ya mbuzi. 6.Kukaa siku kadhaa bila kwenda haja k...
Posts
Showing posts from June, 2025